Mbunifu huyo ambaye ni miongoni mwa wabunifu watakaoonesha mavazi kwenye tamasha la mitindo la Dar es Salaam, DFF, ameandika kupitia mtandao wa Facebook, “True love to everyone... What a great news this Morning... MNET Africa for Martin Kadinda on DFF 2012,” na kuambatanisha screenshot ya ujumbe aliotumiwa na mshkaji wake jinsi MNET wanavyomuongelea.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment