Social Icons

Sunday, September 9, 2012

SERENGETI FIESTA 2012 SINGIDA LEO

Hapa yalikuwa yanapigwa makofi ya nguvu  kuipongeza  hotuba fupi ya nyota wa Bongo Fleva Sir Juma Nature wakati teem nzima ya Fiesta 2012 ilipotembelea kituo cha watoto yatima  mkoani Tabora, kutoka  kile ambacho Mwenyezi Mungu amekileta kwetu kwenda kwa wale wanaokihitaji zaidi.

"Asante Mungu kwa kuifanya Fiesta kuwa chaguo la kwanza la Watanzania  kila inapoitwa  leo  kuhusu Burudani"  Adam Mchomvu.

No comments:

Post a Comment