Social Icons

Wednesday, September 12, 2012

NYUMA YA PAZIA FIESTA 2012

Licha  ya kujulikana  kama msanii mwenye mistari migumu na  kuwachana  nyota wengine wa muziki wa  kizazi kipya  Ney wa Mitego hapa dizain kama kazidiwa na mambo flani na kwa mbaliiii jicho la kurembua analionyesha
Mapema  mapema, Mabeste na Shilole walianza hivi.

Baadae mambo yakawa hivi, tehetehete!


No comments:

Post a Comment