Akipiga stori namchomvuink.blogspot.com leo G luck amesema kuwa ameamua kuandika ngoma hiyo kufuataia matukio kadhaa ambayo amekutana nayo akiwa katika harakati za kuweka maisha poa.
"Kaka Maisha yana mambomengi, kamama kijana nimekutan ana matukio kibao tangu nilipojitambua na kuanza kutafuta maisha, kwakuwa pia maisha yangu yapokwenye muziki ndiyo nikaamua kuandika ngoma hii" alisema G Luck.
Ngonga Play usikilize ngoma hiyo na utoe Coments zako Baliiidaah
No comments:
Post a Comment