Rihanna na Chriss Brown wakiwa beneti huku Rihanna akilaza kichwa chake kwa Brown wakati wakifuatilia mechi kali ya Ligi Kuu ya Mpira wa Kikapu Marekani (NBA) kati ya New York Knicks na Los Angeles Lakers mjini Los Angeles.
Rihanna (kulia) ni kama anasema "Beby mechi hii kali lakini mwenzio kama najisisikia nanii vile tusepe basi ...! huku akiwa amemuegemea Chriss Brown.
Hapa dizaini kama CB ..akajibu... Tulia basi na wewe tucheki game unaona utaamu kuuu... Riry akacheka
Poa basi ngoja nikuibia Popcorn zako najua utachangamka ......
Hatimaye game ikaisha na kilichofuata ni 'Kusepa.'
Rihanna (kulia) ni kama anasema "Beby mechi hii kali lakini mwenzio kama najisisikia nanii vile tusepe basi ...! huku akiwa amemuegemea Chriss Brown.
Hapa dizaini kama CB ..akajibu... Tulia basi na wewe tucheki game unaona utaamu kuuu... Riry akacheka
Poa basi ngoja nikuibia Popcorn zako najua utachangamka ......
Hatimaye game ikaisha na kilichofuata ni 'Kusepa.'
No comments:
Post a Comment