Kamera ya jarida moja maarufu la udaku nchini marekani imemfuma Mwanadada Beyonce ambaye juzi juzi amekula deal nono toka kampuni ya soda ya Pepsi katika matangazo yake, akishuka katika gari huku baadhi ya sehemu za "uhondo" zikiwa waziii! picha hii imezagaa mtandaoni.
No comments:
Post a Comment