Social Icons

Saturday, December 22, 2012

JOYCE MARO NDIYE MISS EAST AFRICA 2012

Mrembo wa Afrika Mashariki,2012 (Tanzania) Joselyne Maro (katikati) akiwa na washindi wenzake, mshindi wa pili Ayisha Nagudi (Uganda kushoto) na wa tatu Ariella Kwizera (Burundi kulia),baada ya kutangazwa washindi katika shindano lao lililofanyika usiku wa kuamkia leokatika Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam. 


No comments:

Post a Comment