Ni kama ambavyo wazungu wanavyotekwa na uzuri wa Mlima Kirimanjaro na kulazimika kutumia mamilioni ya dolali za kimarekani kwa ajili ya kufanya utalii pande za Moshi Tanzania mahali ulipo mlima huo.
Sasa stori kutoka 87.9 Moshi zinasomeka kuwa , round hii ni zamu ya mkali wa Bongo Fleva, Mr Blue, kimya kimya bila promo kutekwa na uzuri wa mji wa moshi tayari kwa shoo maalum anayotarajia kuifanya wikiend hii sambambana wakali kibao kutoka kruu ya micharazo.
Akipiga stori na mchomvuink via 4n mapema leo Blue a.k.a Baysser amebreak Silence kuwa amekubali dili ya kwenda kupiga shoo moshi ili kuweka ukaribu na mashabiki wake ili kuiweka kando stori za kitambo kuwa anawachukia watu wa mji huo kufuatia line kwenye wimbo wake wa Tabasamu' kuwa hana hisia za kichaga bali ana hisia za kimanga.
Sasa stori kutoka 87.9 Moshi zinasomeka kuwa , round hii ni zamu ya mkali wa Bongo Fleva, Mr Blue, kimya kimya bila promo kutekwa na uzuri wa mji wa moshi tayari kwa shoo maalum anayotarajia kuifanya wikiend hii sambambana wakali kibao kutoka kruu ya micharazo.
Akipiga stori na mchomvuink via 4n mapema leo Blue a.k.a Baysser amebreak Silence kuwa amekubali dili ya kwenda kupiga shoo moshi ili kuweka ukaribu na mashabiki wake ili kuiweka kando stori za kitambo kuwa anawachukia watu wa mji huo kufuatia line kwenye wimbo wake wa Tabasamu' kuwa hana hisia za kichaga bali ana hisia za kimanga.
No comments:
Post a Comment