Hii ni collabo kali ambayo inawakutanisha wasanii watatu toka Afrika wanaofanya vizuri sana katika game ya muziki hapa akiwepo Reezon toka Ghana, Chibbz toka Nigeria na Wakazi toka Bongo (Tanzania).
Check na ngoma hii inayojulikana kama WEEKEND halafu niambie imekaaje... Mzigo kama wa ku-bang club zaidi, check hapo chini:
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment