Social Icons

Tuesday, December 11, 2012

MATUKIO MUHIMU AFTER SKUL BASH HAYA HAPA

 Anaitwa  Dj Ziro ambaye  uwezo wake   ulidhihirika  siku hiyo kwani  hakukuwa alifanikiwa kuwarusha watu kwa ngoma kali katika  muda wote aliokuwa  akisimama kwenye mashine
 Mr  Blu, hakika  kila  aliyekuwapo alikiri kuwa jamaa alifanikiwa  sana 
 B-Dozen na Dj  fetty  katika mtoko wa pamoja  ndani ya  ASB
 Jamaa aling'arisha  nyota yake kwenye jukwaa la ASB baaya ya kuwini ishu ya kufafana na mastaa, na kama unavyomuona mchizi  sare sare na Diamond Platinamz
NI mwendo wa  kuruka ngoma  tu, hii ilikuwa ni taimu ambayo Mr Blue alikuwa on stage

No comments:

Post a Comment